Monday, February 3, 2014

Enzi hizo

Mapumziko wakati wa shooting ya Bwana ni nuru yangu eneo la chamazi Dar es salaam.
Wawa ni baadhi wa waanzilishi wa kwaya ya vijana kijitonyama. Picha hii ilipigwa katika usharika wa kijitonyama mwaka 1999. Eneo hili kwa sasa kuna jengo la kitega uchumi cha usharika.

No comments:

Post a Comment