Mapumziko wakati wa shooting ya Bwana ni nuru yangu eneo la chamazi Dar es salaam.
Wawa ni baadhi wa waanzilishi wa kwaya ya vijana kijitonyama. Picha hii ilipigwa katika
usharika wa kijitonyama mwaka 1999. Eneo hili kwa sasa kuna jengo la
kitega uchumi cha usharika.


No comments:
Post a Comment